welcome people
now the blog is at work than any other time
I assure you that you will never be disappointed when you visit this blog
stay tuned and be blessed in Jesus name
22 May 2015
27 February 2015
12 August 2014
20 June 2014
kwa bloggers wote wa kibongo
wamiliki wa blog tunatakiwa tuwe wastaarab na pia kuzingatia kuwa hii ni njia moja wapo ya kuwalisha wasomaji habariambazo wanazitafta kila sikubinafsi naona umuhm sana wa blog kwa sabab mara nying sina sababa za kununua gazeti kwan hadi gazeti lichapishwe mengi nakua nshayasoma.
kuna changamoto nyingi kwenye blogs za kibongo ni nyingisana ila nawakilisha moja tu ambayo inanikera
utakuta kichwa cha habari kimeandikwa "breaking news" unasoma fasta unakuta ni habariushaisoma ni siku ya tatu au wiki ishapita mbaya zaidi habari yenyewe ni "copy and paste"
kama unataka kuweka matukio mbalimbali yanayoukia kwenye blog yako ni vema ukatafata habari sio kuweka habari mfu na kuzita breaking news hapa.
najua na nina uhakika kila blog ina wasomaji wake ila mimi nawashauri taften habari mziweke kwa muda muafaka zikiwa za moto na hii itaondoa swala la "copy and paste"
kuna changamoto nyingi kwenye blogs za kibongo ni nyingisana ila nawakilisha moja tu ambayo inanikera
utakuta kichwa cha habari kimeandikwa "breaking news" unasoma fasta unakuta ni habariushaisoma ni siku ya tatu au wiki ishapita mbaya zaidi habari yenyewe ni "copy and paste"
kama unataka kuweka matukio mbalimbali yanayoukia kwenye blog yako ni vema ukatafata habari sio kuweka habari mfu na kuzita breaking news hapa.
najua na nina uhakika kila blog ina wasomaji wake ila mimi nawashauri taften habari mziweke kwa muda muafaka zikiwa za moto na hii itaondoa swala la "copy and paste"
19 June 2014
NAUNGA MKONO HOJA ASILIMIA MIA
Bunge la kupiga mhuri hoja za serikali ni hatari sana kwa ustawi wa nchi.
Kazi yangu mimi ni mwalimu, kazi hii ni nzuri kama ukiipenda kutoka moyoni na ukipata wanafunzi ambao wanakupa changamoto inapendeza sana. kila siku utakuwa unafurahia kuwa darasani na wanafunzi wako.
Kwa mfano wanafunzi wanapokuwa wanakuuliza masal mengi na yenye changamoto unajua kabisa wanafunzi wako wanakuelewaw na wanajua watendalo. wanajua kwanini wako darasani. Ukikosea wanakukosoa wanakupa changamoto za kazi yako nawe unaweza kujitathmin kwa kazi yao na uwezo wako kwako,.: Ukiktana na wanafunzi na aina hii kama hauko vizuri utaichikia kazi yako na hata kuamua kuiacha.
Ikiwa wewe ni mwalimu mzuri afu ukakuta wanafunzi hawaulizi mwannzowa somo adi mwisho hata ukikosea hawagundui kaw kila kitu hapo subiri divisheni five kwa wingi.
Natazama bunge la jamhuri ya muungano wa Tanzania naona kuna shida maana wabunge waliopewakazi ya kuihoji serikali wamekuwa wakichukua nafasi ya kuipongezau serikali hiku wakilalamika sana kwa mambo ambayo serikai haijayatimiza. Kwa mtaji huu seriali itayarekebishaje zaidi ya kufurai kwa bajeti yake kupitishwa? hapa ni division five tu hamna kitu
Kazi yangu mimi ni mwalimu, kazi hii ni nzuri kama ukiipenda kutoka moyoni na ukipata wanafunzi ambao wanakupa changamoto inapendeza sana. kila siku utakuwa unafurahia kuwa darasani na wanafunzi wako.
Kwa mfano wanafunzi wanapokuwa wanakuuliza masal mengi na yenye changamoto unajua kabisa wanafunzi wako wanakuelewaw na wanajua watendalo. wanajua kwanini wako darasani. Ukikosea wanakukosoa wanakupa changamoto za kazi yako nawe unaweza kujitathmin kwa kazi yao na uwezo wako kwako,.: Ukiktana na wanafunzi na aina hii kama hauko vizuri utaichikia kazi yako na hata kuamua kuiacha.
Ikiwa wewe ni mwalimu mzuri afu ukakuta wanafunzi hawaulizi mwannzowa somo adi mwisho hata ukikosea hawagundui kaw kila kitu hapo subiri divisheni five kwa wingi.
Natazama bunge la jamhuri ya muungano wa Tanzania naona kuna shida maana wabunge waliopewakazi ya kuihoji serikali wamekuwa wakichukua nafasi ya kuipongezau serikali hiku wakilalamika sana kwa mambo ambayo serikai haijayatimiza. Kwa mtaji huu seriali itayarekebishaje zaidi ya kufurai kwa bajeti yake kupitishwa? hapa ni division five tu hamna kitu
Subscribe to:
Posts (Atom)